Skip to main content

Jinsi ya Kusajili Kampuni na Jina la Biashara BRELA




USAJILI WA BIASHARA

Mamlaka ya Usajili wa Biashara na Utoaji Leseni BRELA ilianzisha mfumo mpya wa usajili wa Biashara (Jina la Biashara na Kampuni) unaoitwa ORS yaani Online Registration Sytem. Huu ni mfumo unaokuwezesha kusajili Jina la Biasahara  au Kampuni kwa njia ya mtandao ukiwa popote katika jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Tofauti kati ya JINA LA BIASHARA na KAMPUNI


Jina la biashara ni jina unaloipa biashara yako kwa ajili ya kuitambulisha biashara kwa wateja wako. Jina la biashara ni sehemu muhimu ambayo inagusa hisia za mteja deep down, jaribu kufikiria ukisikia jiana "Apple" ni nini kinakuja kwenye kichwa na moyo wako? Vipi kuhusu "Dangote"? au "Gucci"?. Utagundua majina haya ya biashara huwa mara nyingi ni mafupi yameambatana na Logo na chini yake kauli mbiu ya biashara.

Unawezaje kuchagua jina sahihi la Biashara yako? Kitu cha kwanza ni kuchagua jina ambalo linawakilisha au lina uhusiano mkubwa na huduma au biashara unayofanya mfano jina "Lunchtime Hotel", "Vodacom", "Rungu", "Temptation" n.k.  Kitu cha pili ni kuzingatia urefu wa jina lako, ni vizuri ukachagua jina ambalo ni fupi ili lisiwape shida wateja na iwe rahisi kwa watoto na wakubwa kulisoma lakini pia wanaojua kusoma na wasiojua kusoma mfano "TECNO". kitu cha tatu angalia upekee wa jina, usichague jina litakalokuingiza kwenye migogoro na majina mengine ya biashara. Majina ya biashara yanalindwa na sheria kwa maana ya kwamba kama utatumia jina la mtu mwingine utaingia kwenye ugomvi. Kitu cha nne zingatia mahitaji ya baadae je biashara yako itakuwa kubwa kiasi gani baadae? kama una mpango wa kutanua wigo wa biashara yako baadae usichague jina lenye kulimit bidhaa moja.

Gharama za Usajili wa Jina la Biashara

Nahusika na kuwasaidia watu kusajili majina ya kampuni au biashara BRELA kupitia website ya ors.brela.go.tz.

Gharama za usajili zinahusisha maeneo yafuatayo:
  1. Gharama za BRELA = 20,000/=.
  2. Gharama za mtaalam 30,000/=
  3. Jumla ya Gharama ni 50,000/=

Faida za Kusajili Jina la Biashara

1. Kurasimisha biashara yako Kwa mujibu wa Sheria (Biashara yako inakuwa rasmi)
2. Unaweza kufungua Akaunti ya biashara BANK na kuipa jina la biashara na kujifungulia milango ya kupata MIKOPO kwa ajili ya kukuza biashara yako.
3.Jina hili litalindwa na hakuna mtu mwingine yoyote atakayeweza kulitumia.

                 Nifuatilie kwenye Makala Ijayo katika Mwendelezo wa mada hii



Contacts:

Phone: +255742751265
EMAIL: Ambitplus@gmail.com


Recommended

                                                







Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

NILIANZA NA MTAJI WA LAKI MOJA NIKAANZA KUINGIZA MILIONI MOJA KILA BAADA...

Disclaimer (cha kuzingatia): This is not a get rich quick scheme (hauto tajirika ghafla ndani ya masaa au siku kadhaa), imenichukua mwaka kufikia wakati ambapo naweza pata faida ya millioni moja na kadhaa ndani ya siku 3. Nimejifunza mengi hapo kati, hopefully haitokuchukua mda mwingi kama mimi kwa ku avoid makosa yangu niliyofanya. Cha kuzingatia kingine ni kwamba sifundishi mtu kutajirika wala kuwa na pesa nyingi hadi mwenyewe hutojua wapi pa kuziweka, nitachokua naelezea ni njia za wewe kujikwamua kutoka kwenye shida, kutohofia tena wapi hela za chakula, hela za kodi wala za mahitaji yako yote mengine ambayo ni ya muhimu zinapatikanaje. Naamini ukiweza ku solve mahitaji kama haya na uwe na milioni kadhaa benki kama savings, mtu anaweza aka focus kufanya mambo makubwa zaidi. Kuanzia mwezi wa 12 mwaka 2014 nilianza ku experiment na kuagiza vitu kutoka China, nimekutana na malalamiko mengi ya watu kwenye research yangu kabla sijaanza, watu wanalalamika kuwa wanaibiwa mizigo yao h...

Nafasi 68 za Kazi Rinsen Consultancy

New Jobs at Rinsen Consultancy | Ajira mpya 2020 1. Position:  Cabin Crews ( 32 positions ) Organization:  Rinsten Consultancy Co. LTD Reports to : Head Of Operations Scope of Work As a Cabin Crew with our Client, you will be part of an airline that has won more than 100international awards for excellence, awards that say that they are the best. You will be based in either one of the following Cities; DAR ES SALAAM, DODOMA, MOMBASA, NAIROBI, MWANZA, KISUMU, ELDORET, MBEYA, ENTEBE, KAMPALA, KILIMANJARO( KIA ), MTWARA & BUKOBA. Reccomended: P ATA LOGO YA BIASHARA YAKO BURE HAPA Our Client operates one of the latest wide-bodied Boeing and Airbus aircrafts to a constantly growing network of key cities on every continent. You will enjoy high standard apartments, full medical care and state-of-the-art facilities in training and at work. Our Client gives a lot but asks a lot, too. Cabin Crews need to be dynamic and passionate about being the best; innovative and tireless in s...